Sultan Sayyid Said aliyetawala Oman na Visiwa vya Zanzibar wakati huo. Pia utakumbuka kuwa alihamia Zanzibar mnamo mwaka 1840. Hapa chini nimekuwekea picha zikionyesha makazi yake, vitu vyake alivyopendelea, sehemu aliyolala enzi za utawala wake, sehemu aliyopenda kukaa yeye na Mke wake kipenzi, twende pamoja
Sehemu aliyopenda kukaa na malkia
Hizi picha mbili ni zamakaburi sehemu alipolala yeye na familia yake
Ikumbukwe kuwa utawala huu wa kisultani uling'olewa na mapinduzi ya Zanzibar.
Friday, August 11, 2017
PICHA 33 ZA JUMBA LA KIFAHARI LA SULTAN SAYYID SAID
Diterbitkan August 11, 2017
Tags
Artikel Terkait
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
EmoticonEmoticon