Mbunge wa Kigoma Mh. Zitto Kabwe katweet masaa mawili yaliyopita kupitia ukurasa wake wa tweeter kuwa nyumba yake ya Kigoma aliyokuwa akiishi imeteketea kwa moto hivyo ndugu jamaa na marafiki anawashukuru sana kwa msaada wao, pia hakuacha kuwashukuru jeshi la zimamoto kwa kazi waliyoifanya Check out @zittokabwe's Tweet: https://twitter.com/zittokabwe/status/909102400794918913?s=09
Saturday, September 16, 2017
ZITTO ZUBERI KABWE AMEZUNGUMZIA KUUNGUA KWA NYUMBA YAKE
Diterbitkan September 16, 2017
Tags
Artikel Terkait
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
EmoticonEmoticon