Aliyekuwa rais wa Kenya kabla ya mahakama ya juu kufutilia mbali matokeo ya Uchaguzi ambayo yalimweka madarakani Uhuru Kenyatta, amewaambia mamilioni ya wa Kenya waliojitokeza kumsikiliza jana kuwa Kamwe hawaogopi marudio ya Uchaguzi.
Kenyatta aliwaambia wanakenya kuwa hakuna SERIKALI ya nusu mkate
Pia akawakumbusha kuwa msema kweli ni DEBE, na hiyo ni kuashiria kuwa yuko tayari kwa mpambano mpya utakaowafikisha mwezi wa kumi na moja kwenye Uchaguzi mpya
Ili usipitwe na taarifa mbalimbali mpya kama hizi tafadhali pakua App yetu ya SAYARINEWZ APP ambayo itakusogezea Habari kiganjani kwako.... Facebook... Sayarinewz
Saturday, September 2, 2017
KENYATTA AWAAMBIA WAKENYA MSEMAKWELI NI DEBE
Diterbitkan September 02, 2017
Tags
Artikel Terkait
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
EmoticonEmoticon