Ndani ya saa 24 ilikuwa shida mtandaoni hasa Instagram, Mastaa walionyeshana ubabe wa photo na aliyetikisa ni MOND&ZARI
Na wengine hawakubaki nyuma, FAIZALLY naye na uzombi wake
Huku na huku TAUSI naye huyoooo
Hakika ilikuwa shidaa KABAISAR naye hakubaki nyuma
Naye HARMONIZE na BABY YAKE huyoo
AUNT EZEKIEL NA FAMILY YAKE
KIBONGE MWEPESI akasema hakubali
HAMISA MOBETO naye huyoooo
Hakika ilikuwa motoooo tusubiri kesho tuone nani zaidi
EmoticonEmoticon